Vipers hata hawaeleweki
Mziki wa raja casablanca mnene sana.
Vipers anaanzia wapi kumkazia mwarabu kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipers hata hawaeleweki
Watalambwa goli 5+Mziki wa raja casablanca mnene sana.
Vipers anaanzia wapi kumkazia mwarabu kwake
Tungoje tuone ukweli ni upiVipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Pamoja na hayo hata kucheza hawachezi zaidi ya Karisa anakimbia kimbia kama MolokoMziki wa raja casablanca mnene sana.
Vipers anaanzia wapi kumkazia mwarabu kwake
Simba wazingue wenyeweVipers wepesi
Well said mkuuVipers ndo sehemu ya Simba kuchukua point sita.
Simba anampasua Horoya kwao mapema kabisa asubuhi.
Simba na Raja wanapusua kwenda robo.
Zamaleck kafa home kwa goli moja na wahuni kutoka Algeria.
👆🏼👆🏼👆🏼👆🏼Wanaonesha. Nenda UBC channeli 350
NakaziaVipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Wakifanya mzaha watabugia za kutoshaWatalambwa goli 5+
Mkuu agiza kinywaji chochote hapo ulipo maana umeweka rekodi muruaYanga walikula 6-0 hapo mwaka 1998
Vipers hata hawaeleweki
Huenda walibahatisha kumfunga Tp Mazembe.Yuko unga sana! Wamevukaje kuja makundi?
Fluk...huwa inatokea mkuuHuenda walibahatisha kumfunga Tp Mazembe.
Vipers usishaangae kumfunga Yanga ila kumbuka ndio iliyomtoa Tp Mazembe kwenye klabu bingwa. Kilichowaponza ni kitendo cha kukubali kuanza na upya wakati tayari walishajenga team. Wameuza uza wachezaji wao muhimu na pia kocha aliyeijenga timu wakaachana nao. Unategemea miujiza itawabeba?Vipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.