FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

Screenshot_20230210-224324.png
 
Vipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao

Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Vipers usishaangae kumfunga Yanga ila kumbuka ndio iliyomtoa Tp Mazembe kwenye klabu bingwa. Kilichowaponza ni kitendo cha kukubali kuanza na upya wakati tayari walishajenga team. Wameuza uza wachezaji wao muhimu na pia kocha aliyeijenga timu wakaachana nao. Unategemea miujiza itawabeba?
 
Back
Top Bottom