FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Simba wakaze,ikiwezekana wawapige kamoja,halafu wakalinde.
 
Simba inacheza slow mno...

To be honest kama kocha hatafanya mabadiliko yoyote ya kimchezo, safari ndio imeishia hapa...

Hii ni mechi muhimi mno, na magoli ndio yataamua...
 
So far WAC wana mashambulizi ya hatari kuliko sisi, kule kwao sijui itakuaje.
 
Back
Top Bottom