Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kesho utakuwepo uwanjani ugenini?Watu wanaogopa kuondoka hapa duniani kwa ugonjwa wa moyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho utakuwepo uwanjani ugenini?Watu wanaogopa kuondoka hapa duniani kwa ugonjwa wa moyo.
Tambo zoote hizi mkuu, kumsifia huyu Simba wa tong'areng.... Halafu shangaa simba anapakatwa! Wala sitashangaa....Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ile game ngumu na ambayo inafuatiliwa kwa ukaribu sana na watu wote wapenda soccer la africa, game ya robo final ya caf champions league baina ya miamba kwelikweli, timu zenye misuli ya kutosha, Simba sports club vs Wydad athletic club. Ni palepale machinjioni ambapo yeyote akitia maguu pale, hutoka vichwa chini miguu juu.
Hakika mnyama anaitaka hii mechi na hayupo tayari kuona anagota robo final pekee.
Wachezaji mahiri wa mnyama wote watakuwepo kutupa raha watz wote na bila shaka leo kila mtu ataishabikia
simba sports club.
Wanalunyasi.
Taifa kubwa.
Samba loketo.
Mwana kulitaka.
Mwana kulipata.
Wazee wa kidedea.
Timu iliyobarikiwa na MUNGU na inayosakata kabumbu lililothibitishwa na caf na kufurahiwa vilivyo na fifa mpaka kupelekea sikukuu ya eid icheleweshwe hapa nchini kwetu pekee ili kuingoja mechi hii ya kibabe.
Nikuanzia saa 10:00 jioni, tuwe wote mwanzo mpaka mwisho kwa updates zote.
Eid mubarakh
Nitawasubiri kwa Mkapa.Kesho utakuwepo uwanjani ugenini?
Kule una wasiwasi gani?Nitawasubiri kwa Mkapa.
Mashabeki wamejitokeza wakuridhisha.
Refa yupo upande wa Simba
KwendraaaaaaSimba anafungwa leo 3 bila