FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Upya
 

Hapana ilikuwa Simba, alimfunga nadhani Isamilia goli mbili mechi ikahairishwa, kutokana na mvua. Kesho yake mechi ikarudiwa Simba akashinda goli moja kwa bila. Goli la Joseph Kaniki Golota.
 
Asante Kwa hii kumbukumbu shukran sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…