Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mech Ina magoli mawili Lakin hayatoki simba yoteAcha uchawi wewe jamaa!! Hii game simba anapata goli la2 na mpira utaisha 2-0
why notHuyu ally salum dah simuamini kabisa aisee anatema sana mipira
Ikipigwa kona roho mkononi
Painful sana hizi nafasi sio za kupotezaa kabisa.....Hizi nafasi sio za kukosa Simba jamani
UpyaHii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
It happensBaleke kazingua sana
Yap!...hizi huwa zinaleta majutoHizi nafasi sio za kukosa Simba jamani
hahahah huyo mchezaji wao hana tofauti na majigolo wa kmcAlooo shetani alitaka kuleta zahma hapa
Asante Kwa hii kumbukumbu shukran sana...Hapana Mechi ilikua ya Simba na Ismailia pale shamba la bibi, Simba wakaleta mvua, wakawa wanaupiga mwingi hatari Joseph Kaniki striker wa Simba akawa anabetua mpira anatandika mashuti.
Mpaka mpira unasimamishwa kutokana na maji kujaa uwanjani Simba walikua wakiongoza 2-0.
Mvua ilikua ikiendelea kunyesha mwamuzi aka maliza mpira, Ngoma ika anza upya Siku ya pili.
Simba wakafanikiwa kushinda 1-0 na kutolewa kwenye mashindano.