Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Umenikumbusha umiseta taifa ilikuaga inafanyikia kibaha secondary...Huyu kiungo wetu mwenye spidi ya konokono anacheza kama mwanafunzi wa umiseta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha umiseta taifa ilikuaga inafanyikia kibaha secondary...Huyu kiungo wetu mwenye spidi ya konokono anacheza kama mwanafunzi wa umiseta
Yap, na Sijasema popote kuhusu MUNGU boss.Sad truth is that Mungu hakupi unachotaka anakupa unacho stahili
Yes, wametuachia mpira wakaona tunazingua, sasa nao wameamua kuja...Wydad wameamua kucheza
Kwa sababu haujui mpira ndio maana unamuona comedian. Mashuti kama hayo walikua wanapiga kina Diego Forlan, Drogba, Ronaldo, Rooney na wakali wengine wengi. Aliwafunga Al Hilal kwa mashuti kama hayo ambayo wewe with less football knowledge unaona ya ki comedy.Mayele kwangu namchukulia tofauti na wewe unavyo mchukulia.
We unamchukulia kama King Striker, wakati mi namchukulia kama comedian
Anachekesha.
Alipoona mbele hakufikiki akaona bora apige mashuti katikati ya uwanja
Hata wakitufunga labda potelea mbali hawa waarabu huwa wasenziiiiWaoooh let us celebrate madam wayoooo [emoji23]