FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Yanga hamna budi kufa kiumee.... Maana hawa jamaa kwao ni wa Bad..

All the best
 
Kwanini hamtaki kuamini kwenye ukweli?

Uwezo wa Yanga tunaukubali lakini je timu pinzani zilikuwa na ubora gani?

Mlipopangwa tu na Rivers mashabiki mlianza kushangilia, unafikiri hilo lingewezekana kama mngepangwa na timu ngumu?

Angalia Simba ilipopangwa na Mamelody kila mtu alikuwa anaitabiria mwisho wake tena kwa magoli mengi, unafikiri kwasababu gani?

Hivi kweli Tp Mazembe unaiona ni timu kubwa ila imezidiwa na Yanga au ni timu iliyopotea kwasababu ya kukosa wachezaji wenye Quality?

Hata nikikuuliza leo, ni mechi gani kwako ambayo ilikuwa ngumu kati ya Rivers United na Tp Mazembe utasema ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…