msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 650
- 2,962
Mimi ni simba ila nadhani yanga anachukua makombe si chini ya matatu msimu huu. Huu unaweza kiwa msimu bora kuliko miaka yote kwa yanga na kwa vilabu vyote tangu ligi kuu inanzishwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe benadi amefunga?? Kichaa kaona mweziStephane Aziz Ki 64'
Supa Ben 90+2'
Wapewe MAUA yao chap
Mimi ni simba ila nadhani yanga anachukua makombe si chini ya matatu msimu huu. Huu unaweza kiwa msimu bora kuliko miaka yote kwa yanga na kwa vilabu vyote tangu ligi kuu inanzishwe.
Ndugu zangu hao wana mioyo midogo hawawezi misuko suko ngoja dada yao niwawakilishe 😄 😄 😄 😄 😄OKW BOBAN SUNZU mwenye Avatar ya Mo umepotea bana...
Kambi ya Fisi Bill Mtoto halali na hela Scars Greatest Of All Time Kalpana Shunie Makiwendo Wana simba wooteee JF mje tushangilie ushindi wa Taifa 🔰🔰🔰🔰😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kesho wahi mahakamani kesi ya FeisalWazee wa ngenga mshafika
Tena ndio bao la siku maana aliangushwa ndani ya box refa akapeta akanyuka fasta akashindilia hapo hapo kitu ndani watu weweeeeeeeeee keleleeee banda umizaKumbe benadi amefunga?? Kichaa kaona mwezi
Huyo jamaa ni oppotyunisti... yani ni fwala mmoja hivi anatumia njia za udanganyifu nyie mnazuba mnasubiri filimbi ya refa anatumia huo mwanya anawaliza...ndo maana wa sauzi hawamtakii..Tena ndio bao la siku maana aliangushwa ndani ya box refa akapeta akanyuka fasta akashindilia hapo hapo kitu ndani watu weweeeeeeeeee keleleeee banda umiza
Vimbenju hoiii presha juu sipati picha huko waliko. Kama wana namba ya Mgunda si ajabu sasa hivi wanaongea naye ili kutoa dukuduku walilonalo! 😁😁😁OKW BOBAN SUNZU mwenye Avatar ya Mo umepotea bana...
Kambi ya Fisi Bill Mtoto halali na hela Scars Greatest Of All Time Kalpana Shunie Makiwendo Wana simba wooteee JF mje tushangilie ushindi wa Taifa 🔰🔰🔰🔰😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakuja mtani ❤️ ❤️ 🤍 🤍 🤍 🤍Njoo njoo mtani🤣🤣💚💛💚💛💚💛💚💛
Akome...😄😄😄Uwiii Yanga nawagawa bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
Kuna mtu hapo juu, kasema dhambi za Nabi apewe Onyango na madunduka wote 😆😆😆😆🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
😆😆😆 Ila kawafunga hajawafunga hao wasauzi ?Huyo jamaa ni oppotyunisti... yani ni fwala mmoja hivi anatumia njia za udanganyifu nyie mnazuba mnasubiri filimbi ya refa anatumia huo mwanya anawaliza...ndo maana wa sauzi hawamtakii..
Ndo imeisha hyoo sauzi haendi😆😆😆 Ila kawafunga hajawafunga hao wasauzi ?