FT: CAF Confederation Cup | TP Mazembe 0-1 Yanga | Stade Tp Mazembe | 02.04.2023

FT: CAF Confederation Cup | TP Mazembe 0-1 Yanga | Stade Tp Mazembe | 02.04.2023




HUENDA UKAWA HAUMFAHAMU BONDIA HUYU [emoji91] THE KILLING MACHINE

Ipo YOUTUBE tayari @manaraTv

Gusa Link [emoji3516]Usisahau ku subscribe,Like na ku Comments
Kwa mtindo huu wa kukera watu hutapata subscriber kwenye channel yako hata mmoja. Jifunze strategy za marketing na kuvamia watu tu ambapo mada wala haihusiani is non of them. You are doing more damage to your brand than you can imagine
 
Bora niangalie game ya westham tu ...hizi camera za caf zinaharibu tv
 
Game moja mbovu sana, bora niangalie singida bs na mbeya city
 
Tatizo lenu mmekalili,, inamaana watu wasijifukize hukumbuki ilikua kipindi cha covid
Mbona mlipigwa faini Kama kujifukiza uwanjani ili kuwa sawa? Acheni kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe .Makolo Hakuna kitu
 
Kwa mtindo huu wa kukera watu hutapata subscriber kwenye channel yako hata mmoja. Jifunze strategy za marketing na kuvamia watu tu ambapo mada wala haihusiani is non of them. You are doing more damage to your brand than you can imagine

Sasa kaka unafikiri anajua hata mambo ya brand?
 
Mabingwa wa kutandaza kandanda safi barani Afrika, kandanda lilioenda shule, kandanda lenye viwango vya UEFA hapa nawazungumzia Young Africans leo wanashuka dimbani huko Lubumbashi nchini Kongo kumenyana na Tp Mazembe katika mchezo wa mwisho wa kundi D kombe la shirikisho barani Afrika.
Ikumbukwe mechi ya kwanza iliyopigwa jijini Dar es Salaam Yanga ilishinda goli 3-1 hivyo Tp Mazembe wataingia wakiwa na kiu ya kulipa kisasi.

Yanga wanaongoza kundi D wakiwa na point 10 na tayari wametinga hatua ya robo fainali hivyo nao watataka washinde ili kujihakikishia uongozi wa kundi lao.

Mechi hii itapigwa katika uwanja wa Tp Mazembe na itaanza mida ya saa 10:00 jioni na itarushwa Azam Sports kupitia channel yake ya ZBC2

Tuwe wote Kwa dakika 90 za mchezo huu..........

Kikosi cha YANGA kinachoanza

[emoji1241] Metacha
[emoji1241] Job
[emoji1078] Lomalisa
[emoji1241] Bacca
[emoji1241] Mwamnyeto
[emoji1078] Bangala
[emoji1241] Mudathir
[emoji1241] SureBoy
[emoji1078] Moloko
[emoji1268] Musonda
[emoji1078] Mayele


Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]

Stay tunedView attachment 2573714
Kila la heri kwenye harakati za kusukuma mlevi!!
 
Kumbe hawa wacongo wa Yanga wakicheza mbele ya wajomba na shangazi zao wanakuwa wabovu hivi
 
HT: Tp Mazembe 0-0 Yanga, tukutache kipindi cha pili
 
Na Kila mtu anajua kipindi cha pili huwa Wananchi wanafanya nini[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ukibisha muulize kolo yoyote aliye jilani yako
 
Back
Top Bottom