Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibonde Wa Vipers wanapumzika bila bila.Alisikika Kolo mmoja
Matokeo yenu tunayo alivyowafanya mwarabu usiku wa manane[emoji41]Vibonde wa vipers wakichuana
Kuweka kumbukumbu sawa, Simba ndio kibonde wa muda wote wa YangaVibonde Wa Vipers wanapumzika bila bila.
1. Raja
2. Simba
3. Horoya
4. Vipers
Wanaenda kushangilia Vibonde Wa Vipers, waliopumzika bila bila.Eti Hii ndiyo mechi ya kusafirisha mashabiki na kuwapitisha misituni kwenda kuishangilia
Vibonde Wa Vipers wanapumzika bila bila.Alisikika Kolo mmoja kutoka timu isiyo na kombe hata moja
Loosers na Vibonde Wa Vipers wanapumzika bila bila.Alisikika Zuwena mmona kutoka mikiani
Mkuu umeua wananchi kabisa 😂😂Kwa hiyo watu mko serius kabisa mnaangalia mechi ya losers wawili?
Acheni utani wote tunajua Aprili fool haina boxing day?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daa Africa ni Africa tu ,sijui wanatumia camera za Tecno ....
Mbona epl mpira unaonekana vzuri na Waafrica wetu huwa wanaonekana vzuri ? Pitch inaonekana vzuri ....
Huku sasa utafikili ni mashujaa fc ya kigoma inacheza huko kibondo ,hakuna quality kabisa [emoji3]
Nimelia sana [emoji24]Eti Hii ndiyo mechi ya kusafirisha mashabiki na kuwapitisha misituni kwenda kuishangilia
Majitu mazima yanashngilia loosers.Kwa hiyo watu mko serius kabisa mnaangalia mechi ya losers wawili?
Acheni utani wote tunajua Aprili fool haina boxing day?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa utopolooo mna jipya lipi na kombe LA losers, al hilal aliwafurushaaaa.Na Kila mtu anajua kipindi cha pili huwa Wananchi wanafanya nini[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ukibisha muulize kolo yoyote aliye jilani yako
Aya tulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa utopolooo mna jipya lipi na kombe LA losers, al hilal aliwafurushaaaa.
Lol
Kwakuwa mechi zinachezwa na akina mzee mpili,, ila kuweka kumbukumbu sawa, Yanga ndo timu inayo ongoza kupigwa nyingi na mnyama SimbaKuweka kumbukumbu sawa, Simba ndio kibonde wa muda wote wa Yanga
Kwani kuna timu imewahi kuifunga Yanga mara nyingi zaidi ya Simba?Kuweka kumbukumbu sawa, Simba ndio kibonde wa muda wote wa Yanga