Hiyo mimba changa inakusumbua. Kanunue ndimu na ukwaju.Unatuletea updates za kombe la mbuzi halafu unatuambia stay tuned!, nani ana muda huo[emoji41][emoji41][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mimba changa inakusumbua. Kanunue ndimu na ukwaju.Unatuletea updates za kombe la mbuzi halafu unatuambia stay tuned!, nani ana muda huo[emoji41][emoji41][emoji41]
Makasiriko tena, najipitia zangu nikakutana na updates za kombe la mbuzi, nikasema sina huo muda..Acha makasiriko we kolo
Kweny kundi la mamelodi timu yoyote pale inaweza kumfumua simba nje ndan hata yule kibonde waoKundi la Yanga shirikisho hata Namungo angeongoza
Unaweza kupita barabarani ukakutana na mtu usiyekuwa na mpango nae, ndicho kilichonitokea nilivyozama kwenye hili jukwaa, msininunie na kombe lenu la mbuzi🫣🫣Kwani kuna mtu aliyekuita? Kama hauna muda si ufanye yako kwani umelazimishwa na nani kufungua uzi. Una stress zilizopitiliza, hasira unaziamishia kwa Yanga. Pole sana
Kama ambavyo Al hilal alikufumua ukaangukia kwenye kombe la mbuziKweny kundi la mamelodi timu yoyote pale inaweza kumfumua simba nje ndan hata yule kibonde wao
Hili ni kombe la losers .Mmelifanya kuwa kombe kuuuuuuuuuubwa!!! Wanaoshiriki klabu bingwa wao wasemeje?
Ulipotea kidogo, Naona umefufuka sasa.😁Hii Yanga hii! We acha tu. Yaani inashinda hata ugenini, halafu na uwanjani pia lazima waongoze kwa umiliki wa mpira.
Alikua kwenye kamati ya wabana pumbu [emoji23]Ulipotea kidogo, Naona umefufuka sasa.[emoji16]
Uwezo ndipo ulipoishiaTimu mbovu kama hii Bado Goli Lile Lile.?
Utopolo hapo ilikuwa mjibwede 7 - 0 mnatuangusha...
Ndiyo kawaida yangu kuingia kwa kuvizia, na pia kwa kusoma uelekeo wa upepo.Ulipotea kidogo, Naona umefufuka sasa.😁