Leo ndio leo hatimaye imefika siku muhimu kwa wapenda soka barani Africa
Ni fainali ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Africa kwa msimu wa 2022/2023 kati ya Yanga na USM Alger
Mechi hii itachezwa mnamo saa 10 jioni kwa saa za Africa mashariki kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa mara ya kwanza, na pia ziliwahi kukutana kwenye msimu wa 2018 ambapo Yanga alifungwa kwa hiyo mechi hii inaweza kuwa ya kisasi
Nini kitatokea?
Karibuni kwa live updates kuanzia mwanzo, kati na hata mwisho wa mtanange huu muhimu!
Kwa wanaofuatilia kwenye Tv.. Azam (zbc 2) na Dstv ( Chaneli namba225) watarusha mubashara mechi hii
𝐔𝐩𝐝𝐚𝐭𝐞𝐬
𝐊𝐮𝐧𝐚 𝐯𝐮𝐫𝐮𝐠𝐮 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐭𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐣𝐚𝐧𝐢, 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐰𝐚𝐦𝐞𝐯𝐮𝐧𝐣𝐚 𝐦𝐚𝐠𝐞𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐧𝐠𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐖𝐚𝐬𝐢𝐦𝐚𝐦𝐢𝐳𝐢 𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐫𝐚𝐭𝐢𝐛𝐮 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮 𝐰𝐚 𝐊𝐮𝐢𝐧𝐠𝐢𝐚.. 𝐏𝐨𝐥𝐢𝐬𝐢 𝐢𝐦𝐞𝐛𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐧𝐠𝐮𝐯𝐮 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐣𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐚𝐬𝐡𝐚... ( 𝐇𝐢𝐢 𝐬𝐢𝐨 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢, 𝐤𝐢𝐮𝐬𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐢𝐧𝐚𝐡𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐭𝐚𝐬𝐰𝐢𝐫𝐚 𝐲𝐚 𝐮𝐰𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐒𝐨𝐤𝐚 𝐥𝐚 𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐲𝐞𝐭𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐣𝐮𝐦𝐥𝐚)
_____________________________________________
𝐊𝐢𝐤𝐨𝐬𝐢 𝐜𝐡𝐚 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐞𝐭𝐨𝐤𝐚
1)𝐃𝐢𝐚𝐫𝐫𝐚 𝐃.
2) 𝐉𝐨𝐛 𝐃.
3) 𝐊𝐢𝐛𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐒.
4) 𝐌𝐰𝐚𝐦𝐧𝐲𝐞𝐭𝐨 𝐁.
5) 𝐁𝐚𝐜𝐜𝐚 𝐈.
6) 𝐁𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐚 𝐘.
7) 𝐊𝐢𝐬𝐢𝐧𝐝𝐚 𝐓.
8) 𝐌𝐮𝐝𝐚𝐭𝐡𝐢𝐫 𝐘.
9) 𝐌𝐚𝐲𝐞𝐥𝐞 𝐅.
10)𝐀𝐳𝐢𝐳 𝐊𝐢
11) 𝐌𝐮𝐬𝐨𝐧𝐝𝐚Tunashinda