FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Nyie mafundi welding naskia ndio mliovunja geti ili mpate tenda
 
Yanga akishinda leo atastahili sifa kubwa sana maana Kamati zote za Uchawi nchi hii zinahangaika kuikwamisha Yanga chini ya uratibu wa Msimbazi
Ushindi upo pale pale ๐Ÿ˜†
 
Ngoja kwanza tutakamatana baada ya dakika 15 za mwanzo tuone dua ya nani imepokelewa.

Dua ya jua kwa ajili ya kuwakomoa wenzenu hiyo tayari tushaona imekataliwa.

Imebaki dua moja tu mpaka sasa
Hiyo dua ya pili nakazia kwamba NAWATAKIA YANGA USHINDI KINYUME CHAKE
 
๐”๐ฐ๐š๐ง๐ฃ๐š ๐ง๐š๐จ๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐…๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐‡๐จ๐ฎ๐ฌ๐ž, ๐ง๐š ๐›๐š๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ซ๐š๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐จ ๐ง๐ฃ๐ž
 
Nasikia mmeondoa geti
 
Hawa USM ALGER wanajua kuwa hao mashabiki wanaowaona hapo wamelipiwa tiketi?

Mbali na hilo wanajua kwa kitendo hicho kimeliingizia hasara Taifa kwa kuvunja geti?

Sasa fanyeni kitu kama revenge
 
Uwanja usiwe umejaa maji tu. Mpira utaharibika.
 
Huyu jamaa namba 4 wa USM ALGER ni wakuchungwa
๐„๐ž๐ž ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐ฎ๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ž ๐ฌ๐ก๐š๐ฆ๐›๐š๐ง๐ข
 
Nasikia mmeondoa geti
๐Œ๐ž๐ง๐ž๐ฃ๐š ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฐ๐š๐ง๐ฃ๐š ๐š๐ฃ๐ข๐ญ๐š๐Ÿ๐š๐ค๐š๐ซ๐ข, ๐ฎ๐ญ๐š๐ซ๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ฆ๐›๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ ๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐ฐ๐ž๐ค๐š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ