Weka link
Yap mi mwenyewe nimekiona hicho kitu.USM Alger wanacheza kulingana na hali ya uwanja ila Yanga wanafosi kucheza mpira wao ule ule wa siku zote ilhali uwanja hauruhusu
Tulia uje baadayeWakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah
Taifa bado linakuhitaji jiepushe na matatizo tutakupa matokeoWakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah