FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Weka link
 
USM Alger wanacheza kulingana na hali ya uwanja ila Yanga wanafosi kucheza mpira wao ule ule wa siku zote ilhali uwanja hauruhusu
Yap mi mwenyewe nimekiona hicho kitu.

Nadhani wanafuata maagizo ya kocha
 
 
Kisinda anapiga shuti kali lakini mlinda mlango anaunyaka mpira
 
Hii mvua ya leo Dsm yote sio dalili nzuri kwa utopolo, mvua ni ya Simba.
 
15' ๐“๐ฎ๐ข๐ฌ๐ข๐ฅ๐š ๐Š๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐๐š ๐š๐ง๐š๐ค๐จ๐ฌ๐š ๐ ๐จ๐ฅ๐ข ๐ฃ๐š๐ฉ๐š..๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐˜๐š๐ง๐ ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ฌ๐ก๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข
 
Kwanini mvua imenyesha lkn,uwanja sio rafiki hata kidgoo Eee Mungu[emoji2969]
 
Yanga mnacheza kama fainali au kama mechi ya kawaida? Endeleeni kufanya mzaha mtanikumbuka in Jiwe's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ