Ile siku wanacheza na Monastir kwenye uwanja uliojaa maji hawakuleta hizo sababu, leo wamepigwa kimoko imegeuka kuwa sababu.[emoji23]Kuna machura yanalalamika eti mvua! Sasa usm alger ndo wanacheza kwenye jua au?
Kwani nimekushikilia [emoji23][emoji23]
Endelea mkuu naona Uto fans wamesepa 😂😂😂😂😂😂
Wahenga washasema usiache mbachao kwa msala upitao,
usitukane wakunga na uzazi ungalipo,
Usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa,
Niendelee..??
SIkioni cha kutusepesha Mtani 😅 wakati mwisho wa siku iwe isiwe kama ni medali tutavaa tu.Kama kawaida ila naona leo mmekaza mpaka muda huu bado tu hamjasepa?
Jasho wanalipata kivumbi ndiyo kinakosekana. Huyu ndiyo mpinzani wa kwanza wa kweli waliyekutana naye.Mvua inanyesha kivumbi na jasho kitatoka wapi mzee
Siasa ndiyo inacheza kiwanjani?Kuingiza siasa kumetuponza hapa tutakula chuma mbil
😆Yanga 0-1 USM ALGER View attachment 2638256