FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

KOMWE LA ALIKAMWE LAIPONZA UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
HABIB HABIB وينينينينينينبنينطنذنذبن
Mfyuuu 👽👽👽👽😠😠😣😣
 
Niliwaambia msipokee zile free tiketi za mkosi, haya sasa mtavuna mlichopanda
 
NI KUJIPIGIA TU LEO HABIB HABIB[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
My partial analysis

1_ USM wachezaji wao wapo very flexible
2_ Very tactical
3_ wanajiamini
4_ Wanaakili sana ukilinganisha na wachezaj wa utopolo mfno Mchezai kama Kisinda akili yake ni ya kumwezesha kukimbia tu.
5_ Wanajua wanachokifanya.


Mpaka sasa USM wameonyesha uwezo mkubwa.

Mimi kama MTANZANIA MZALENDO. nawatakia USM ALGER Ushindi wa goli nyingi zaidi.
 
[emoji81][emoji81][emoji81]makolo mna ongoza kwa ku comment mna fatiria match kuliko hata Yanga wenyewe ..big up kwenu
 
Utopolo wanaifanya mechi ya fainali iwe mbovu kabisa iliyokosa ushindani.
 
USM Algers mpira wao wa kiwango kidogo sanaaaa, kwa wanaojua mpira wanajua, ila ukiwa shabiki wa Simba hapa hutajua, mashabiki wa Simba hamna kombe lolote mwaka huu, mnashabikia waarab, nyoko
 
NI KUJIPIGIA TU LEO HABIB HABIB[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Ndyo umenishika ninapokojoa
HABIB HABIBمسينينينطوطوطوططوطووطوطمسمسمظىظنظ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
😂😂
Second leg ni lini tupae hadi Algeria

twende tukawapongezee waarabu kwa kidogo hichi
 
Back
Top Bottom