FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023


Na kwakua mliwahi kusema mafanikio yenu yamechangiwa na kubezwa na mashabiki wa Simba.

Basi nasisi leo tutaangalia namna bora ya kuwafanya mpate motisha ya kuzidi kukaza, mchukue kombe.
Ko mnabeza kama sehemu ya motisha sio
 
Uzuri Yanga hana cha ugenini anakulaga tu.
Ila kama timu isipobadilika kipindi cha pili, aisee hawa jamaa wataondoka na ushindi. Maana timu yetu imekosa kabisa watu wa kumpitishia Mayele mpira.
 
Aliyepo karibu na dogo kamwe hapo kwa Mkapa apige naye picha kisha arushe hapa tumpe hongera zake dogo kabla hajaenda kwa bi Hamsa M kufumania maana hana akili huyo dogo😂
 
Yanga inashinda easily hii game, USM Algers haina mpira mkubwa hata kidogo, kiwango cha Yanga kipo juu sana, kwa Half time tumeona jinsi Yanga wamefika mara nyingi mno ktk goli la Algers, dak 45 zilizobakia mtaona moto mkali na Yanga anashinda
 
KOMWE LA ALIKAMWE LAIPONZA UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
HABIB HABIB وينينينينينينبنينطنذنذبن
😂😂😂😂😂😂😂 mwache mwenyekiti wa komwe huyo
 
Kisinda akiendelea..job anaweza kula umeme..jamaa hashuk kabisa kusupport...
Kocha amtoe ki na kisinda....
Aingize kiungo wa kati na winger mmoja...
Musonda aje kati na mayele...
Yanga inampiga uyu 2
 
UTO ANAKULA NGAPI LEO ??!

- ATAKULA MTANDAO PENDWA



1685282181457.png
 
Shangilia uone hasira za uto, watadhani unashabikia Waarabu. Hili tatizo lipo katika makuzi ya mtanzania, hatuna utamaduni wa kukubali kuwa tofauti.
Hahaha.........ujasiri wa kushangilia unatoka wapi kama watu wameloa kwa Mkapa 😅
 
Back
Top Bottom