Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
SaawaAmka utajinyea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SaawaAmka utajinyea
Fulltime usma3 yanga 1In Shaa Allah Yanga watarudisha na kushinda.
Mpira ukiisha utafutweHapana. Mimi ni Mnyama Mkali wa Mwituni.
Wamepata support ya mganga wa simba aliyeipiga yanga na mvua kwenye dabi ya mwishoKwani Chalamila anacheza namba ngapi ?
Tatizo mliandaa kikosi cha kucheza kwenye jua, mkasahau waarabu nao walikuwa wanaomba mvua inyeshe.. Imenyesha na tumeona panapovuja.
Maaavi 🤧Fulltime usma3 yanga 1
Wapi 🤧
Mpira haujaisha usijisahaulishe 🤧Eti makombe matatu, mijamaa huwa inaota ndoto mbaya hii, inaonekana usiku ikilala huwa haimkumbuki Mungu🫣🫣🫣
Timu kubwa zinashiriki Champions league na Super Cup nyingine ni takataka tuMsimalize maneno, Yanga ni timu Kubwa jamani
Jitahidi akupe hela ndefu , itutoshe wote huko .
tushakuwa waarabu siee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ففغغععهه تتتننمممممسسبتو تيد تتتننمممممسسبتو
kwani ally komwe kasemajesimba mlituaminisha tupo pamoja kwenye hii mechi, inakuaje mnatusnitch mapema hivi guys?! msifanye kwa ajili ya yule dogo wa andazi
Utajua mpira ukiisha 🤧Na wewe ni chura?
Mechi bado ipo uchi hii......Sisi tulitaka goli la ugenini tu hayo mengine hatuna kazi nayo, kwahiyo tuna haki ya kuongea regardless.
Ya NBC sawa ila hii ina wenyewe ingekuwa harusi nyie tungewaita wasindikizajiSIkioni cha kutusepesha Mtani 😅 wakati mwisho wa siku iwe isiwe kama ni medali tutavaa tu.
تتنمممم ككككممMpira haujaisha ukiisha utapoteana humu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Toa azizi ki anakaba wenzake
Wakati mnafukuza mwizi kumbukeni kufunga mlango wenu, mkipigwa la pili hapa fainali itakuwa imeisha.Kipindi cha pili,Yanga anasawazisha na uwezekano wa kuongeza ni mkubwa.