Huyu jamaa akiwekwa na andazi, bila shaka nitachagua andazi.Azizi Ki anapiga shuti linalenga mashavu ya nyavu
Tupo pamoja classmate.MASHABIKI WA USM ALGER TUJUANE [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nimekuja kutafuta hili jamaa najua lina furaha sana muda huu 😂HAPO UWANJANI WAMEJAZANA KAMA ALIZETI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23]
Tupo pamoja classmate.
Wanakeketwa liveUTOPOLO WANAFANYIWA UKATILI WA JINSIA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Yanga akipigwa mbili mechi bado nyeupe wakati wa marudiano.Mimi nasema wacha gongowazi wakandwe tu hakuna jinsi nyingine
Anatumia??😂 😂 Kwani kaingia na kipisi cha la chuga ?
Mpeni Jani apige mubashara atawasaidia tu 😂