Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
πππDah na kiarabutwende tukale urojo jioni
ΨͺΨͺΩΨͺΨͺΩΩΩΩ ΨΈΨΈΨΈΨΈΨΈΩΩΨ²Ψ²Ψ²Ψ²
Thio thahihi, bado tunawedha.Hii iwaambie kuwa nyinyi mpo kwenye kiganja cha mwarabu na yeye ndiye anaeamua mchezo uende vipi, wakiwashwa kupata goli wanalipata bila shida (kama mlivyoona hapo), wakiamua mchezee mpira wanawaachia, na huu ndio mpira wa waarabu halisi (direct football).
Raja nae alimuacha Simba Sc kachezea mpira ila kila akitaka goli, anabonyeza tu.
KULE KWAO HAMUWEZI KUWAFANYA CHOCHOTE NA HILI KOMBE TAYARI NI LAO.
Natamani sana ishinde. Inaiwakilisha Tanzania no doubt.Jiheshimu basi. Yanga ni team ya Taifa kama hamjui.
Washenzi hawa.Mnachezea hela watu wanalala njaa hizo hamasa mkanunue dawa...
Wamemdhulumu mganga wao wacha wakandweIla wanetu wakivaa jezi nyeusi huwa hawafungwi[emoji1787][emoji1787]
Iandikwe kwenye Guiness world record πππYanga wameachama kidogo tu likarudishwa, moja kati ya experience chungu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee kwa Simba waliloaa hata kule kwao mpk matut..it means waliloaHii iwaambie kuwa nyinyi mpo kwenye kiganja cha mwarabu na yeye ndiye anaeamua mchezo uende vipi, wakiwashwa kupata goli wanalipata bila shida (kama mlivyoona hapo), wakiamua mchezee mpira wanawaachia, na huu ndio mpira wa waarabu halisi (direct football).
Raja nae alimuacha Simba Sc kachezea mpira ila kila akitaka goli, anabonyeza tu.
KULE KWAO HAMUWEZI KUWAFANYA CHOCHOTE NA HILI KOMBE TAYARI NI LAO.