Sisi huwa hatufi kiume.Wamekufa kiumeView attachment 2638321
nakuja unifundishe kufunga ushungi .πππDah na kiarabu
Na kosa lao kubwa ni kumdhalilisha Mh. Rais,yaani wamefungwa goli la pili wanainua juu picha ya Rais,hawana adabu.Natamani sana ishinde. Inaiwakilisha Tanzania no doubt.
Bahati mbaya ni mdebwedo mpaka sasa.