Kama maji mtungini au sharbat frijini, laaah tutapata usingizi Sasa daaahMji umetuliaaaaaaaaaa
Andazi nishibeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]UKIPEWA YANGA NA ANDAZI UTACHAGUA NN[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Uwezo wa timu ndiyo unaonipa moyo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2]jipe moyooo
Hapo bado Mayele hajaingia watakoma hawa USM
Huyu hata timu yetu ya veteran hatuwezi kumpa namba.Azizi ki ana u sarpong Fulani na u yikpe kidogo ๐๐๐View attachment 2638284
Unapataje usingiz huna kikombe hata cha kahawa?Kama maji mtungini au sharbat frijini, laaah tutapata usingizi Sasa daaah
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Pengo la Aucho limeonekana dhahiri, Makolokolo aitwaye Scars aje hapa ajishuhudie jinsi gani alivyo mweupe katika soka.We will begin again
Viva dar young Africa [emoji520][emoji520]
๐๐ข ๐ฌ๐ฎ๐๐ฅ๐ ๐ฅ๐ ๐ฆ๐ฎ๐๐ ๐ญ๐ฎYanga wamebakiza mlima mgumu sana kupanda; itabidi wafunge mabao 2-0 au 3-0 huko ugenini. Mungu Ibariki Yanga. Kuna wachezaji wengi leo walikuwa wanafanya makosa ya kipuuzi sana, sijui ilikuwa ni kwa sababu ya pressure au vipi. Yanga wamefungwa kwa mara ya kwanza nyumbani, sijui kama wanaweza kuja na comeback kali huko ugeninini ingawa wana rekodi ya kufunga timu nyingi ugeninini.
Nipo MkuuWe binti, upo?
Nimefurahi kujua kuwa, wewe pia ni Simba Sc.
[emoji23][emoji23]
Naona umeamua kutuletea Cuban Pete, the king of Rhumba beats๐Huku kwetu ni vibeeeeView attachment 2638333