Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Bado tuna Imani na Yanga...
Aucho, Aucho, Aucho.Mechi haijaisha hii,tar 3 hmtaamini kitakachotokea
TumepambanaKwa hapo walipofikia yanga inahitaji pongozi kucheza fainali, wasife moyo mwakani waingie tena fainali
Acha kufananisha andazi na vitu vya hovyoo dogoo!!!UKIPEWA YANGA NA ANDAZI UTACHAGUA NN[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
𝐇𝐚𝐰𝐚𝐭𝐚𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢, 𝐊𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐨Zinaenda kurudi kwao
We Makolokolo si nilikwambia pengo la Aucho limeonekana kabla hata ya mechi?Huku kwetu ni vibeeeeView attachment 2638333
andazi 😂😂😂UKIPEWA YANGA NA ANDAZI UTACHAGUA NN[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Watajua wenyewe hao vyura.Mkawafunge 3 kwao?
Teh Teh[emoji23]
Kombe 😃😃😃 amka utaachia kifurushi huko nyumaYanga bado ina nafasi kubwa ya kutwaa kombe hilo kwenye mechi ya marudiano ugenini
Yani full burudani, tupumue sasaKama maji mtungini au sharbat frijini, laaah tutapata usingizi Sasa daaah
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mbona hamsemi la fei totoPengo la Aucho limeonekana dhahiri, Makolokolo aitwaye Scars aje hapa ajishuhudie jinsi gani alivyo mweupe katika soka.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
𝐇𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐢𝐦𝐢 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐧𝐢𝐧𝐚 𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐚 𝐇𝐢𝐥𝐢Yanga bado ina nafasi kubwa ya kutwaa kombe hilo kwenye mechi ya marudiano ugenini
Bado tuna Imani na Yanga...
Leg 2 of 2 tuna uwezo wa kufunga 3, wao Nabi kishaona uchezaji wao, Algeria kwao huko wanaweza wasizione nyavu. Yote kheri [emoji120]
#WHYNOTUS#
#teamyawananchi#
#yangadaimambelemyumamwiko#
[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]