SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee weee𝐖𝐞 𝐬𝐮𝐛𝐢𝐫𝐢𝐚, 𝐧𝐢 𝐬𝐮𝐚𝐥𝐚 𝐥𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐭𝐮
Huyu Kenge kafufukia wapi, walikuzika wapi wewe Kolowizard [emoji848][emoji1]Mtu na akili zako unakaza magego eti Yanga atashinda. Kushindaje
Nilipoiona ile ahadi ya milioni 63 kwa kila mchezaji nikajua leo Yanga wajiandae kwa maumivu. Muarabu hatoi pesa yake kizembe hivyo.Yanga wamebakiza mlima mgumu sana kupanda; itabidi wafunge mabao 2-0 au 3-1 huko ugenini. Mungu Ibariki Yanga. Kuna wachezaji wengi leo walikuwa wanafanya makosa ya kipuuzi sana, sijui ilikuwa ni kwa sababu ya pressure au vipi. Yanga wamefungwa kwa mara ya kwanza nyumbani, sijui kama wanaweza kuja na comeback kali huko ugeninini ingawa wana rekodi ya kufunga timu nyingi ugeninini.
Labda kombe la uji wa ulezi. Nyie jipangeni tu kwa mwakani. Mwaka huu shangilieni makombe mliochukua hapa Bongo. Huko duniani waachieni wenyewe.𝐇𝐚𝐰𝐚𝐭𝐚𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢, 𝐊𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐨
andazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo tuseme walau mmepata faraja leo Mtani. 🤣🤣Nyie lieni si tuna Crip walk tuView attachment 2638338
Acha kufananisha andazi na vitu vya hovyoo dogoo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniii pita kwa mangii pata chochotee, bill juu yangu.[emoji28][emoji28][emoji28]
Fei ndiye aliyekuwa laana jangwani ndiyomaana tangu ametoka leo hii ndiyo Yanga wametinga fainali za CAFCCLMbona hamsemi la fei toto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa! Wa Algeria wamemfufua. 😅😅Huyu Kenge kafufukia wapi, walikuzika wapi wewe Kolowizard [emoji848][emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwanza kuchukua kombe la shirikisho inakuwaje iwe ni UBINGWA WA AFRICA, wale wa CAFCL waseme vipi?Mndhani ubingwa wa Africa ni wa kuokota eee...
Kujadili mpira na Mbumbumbu ni matumizi mabovu ya akili, ungekuwa muelewa ungekubali hata kabla ya fainali za CAFCCL awamu ya kwanza.Kiukweli tutakaa tutalijadili hilo ila kwa sasa nipeni muda ni vibe kwanzaView attachment 2638340