Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosoa uchambuzi wangu kwa hoja.Basi mbumbumbu mnawashwa leo
Hii final ya CAF
Sio
n
NBC league
Sare na Namungo
Utakuja uone medal
Mayele Top scorer
Wewe shangalia kombe la feisal
kwani wenyewe wanamtegemea shetaniNasikitika tumefungwa lkn mungu yupo pmj na sisi Wanayanga wenzangu tusikate tamaaa
Haha.. wewe shikilia hapohapo. Yanga imewaprove wrong wengi kama weweJuma shabani kacheza faulo kwa mchezaji wetu namba 12
Bado tuna Imani mkuuMechi haijaisha hii,tar 3 hmtaamini kitakachotokea
Aziza kei kafanyaje tenaKudadadeq View attachment 2638358
Hii ni yanga sio kolowizardNa hapo mkumbuke kulikuwa kuna mvua
Cha muhimu tuna million 20 za mama za kutufuta machozi...au Shadeeya Bantu Lady mnasemaje ?.....😊😊Mtu na akili zako unakaza magego eti Yanga atashinda. Kushindaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] medalii sio ishuu bwasheee, ni km historia tyuuh. PoleeeeeeeeehMji utatulia kwa muda tu baada ya kuchukua medali na ubingwa wetu wa NBC we will be back on roads, msimu huu tunaanzia chanika.
Nyie msitupangie la kusema mkiamua mtupe makomhe yote hata kombe la kutype sawaaa...ila mmepigwaaaaaaaHongera kwa kombe lingine Mtani, ila bakiza akiba za maneno maana bado second final away.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sijapenda 🤣🤣Mkifungwa huwa mnapotea najiuliza kwanini?
Now nimejua kumbe nyie ni maninja, mkiishiwa mapigo mnapiga pigo la kupotea
Fainali ya loosers. Hongera mtani😂🤣Pale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Vipi.. ulikuw unazungumzia goli lipi...Subiri goli liingie kwanza hakuna pupa 🤣
Weee Leo natoa yoteeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkiambiwa mlipangwa na Vibonde muwe mnakubali [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]