The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Wametukana mamba katikati ya mtoYanga wamuombe Mgunda msamaha na awaachie toka moyoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametukana mamba katikati ya mtoYanga wamuombe Mgunda msamaha na awaachie toka moyoni
Haswaaa 😂Kwamba inatumia mibange.
Vipi keshapuliza cha la chuga ?𝐌𝐨𝐫𝐢𝐬𝐨𝐧
Kama nakuona vile unavyotaka kulia hahahaaaaaaaWachezaji wa Yanga bhana! Mnapata kona nyingi, halafu upigaji ni ule ule. Mara zote wenzenu ndiyo wanao zicheza. Kwa nini msipige kona fupi!!!!
sikuwa na cm.ila nipoKumbe hupogo?
😂😂😂
Nahisi kachoka sana Leo, nilikuwa namshauri 'akapundhike' kidogo..