Shabiki mmoja (40) amefariki kutokana na vurugu zilizotokea wakati wa kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwenye mchezo wa Yanga & USM Alger.
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema marehemu ni mmoja wa majeruhi 30 waliopokelewa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.