FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Mie tu sielewi au???

Yaani yanga kashinda??

Atapata kombe???

Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???


Nipeni ufafanuzi
Teh teh teh 😂😂😂 women mnafurahisha kweli kweli..

Yanga kashinda ugenini 1-0 ila mpinzani wake alimfunga Yanga 2-1 hapa Dar hivyo matokeo jumla ni 2-2.

ila mpinzani wake kabeba kombe kwani alimfunga Yanga magoli mawili (2) hapa Dar wakati Yanga kapati goli moja (1) tu ugenini.
 
Mwamba huyu hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20230604-070147.png
    Screenshot_20230604-070147.png
    455.4 KB · Views: 1
Fainali iwe mechi moja
Walifanya hivyo baada ya mechi ya fainali kati ya Esperance na Wydad kuvunjika ila baadae walirudisha tena fainali mbili.

Hii ni baada ya kupanga fainali ifanyike uwanja huo huo wa Mohammed (V) waliocheza Yanga halafu ikatokea Wydad na Al ahly wakatinga fainali, sasa ili kubalance mechi ikabidi warudishe tu fainali mbili (2).
 
Leo ndiyo nngwe ya pili ya Fainali ya kombe la Shirikisho Afrika ikiikutanisha timu ya USM Alger ya nchini Algeria na Yanga SC ya Tanzania ambapo Yanga itakuwa ugenini. Katika mchezo wa kwanza Yanga ilipoteza 2-1 katika uwanja wa Benjamini Mkapa.

Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa mara ya kwanza, Je kutokana na ulivyouona mchezo wa kwanza unadhani mchezo huu utakuwaje?

Nani unampa nafasi ya kuibuka bingwa?

Usiku wa kuamkia mechi leo nchini Algeria Mashabiki wa USM Alger walienda nje ya Hotel waliyofikia Yanga Algeria The Legacy Luxury na kuanza kupiga mafataki, unaambiwa hii ni tabia yako kwa lengo la kuitoa mchezoni timu ya ugenini.Yanga saa 22:00 kwa saa za Tanzania leo watacheza mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikishi Afrika dhidi ya USM Alger baada ya ule wa kwanza Dar es Salaam USM Alger kuibuka kidedea 2-1.

View attachment 2645132
Hali ya Uwanja saa 2 kabla ya mechi
---

Vikosi vinavyoanza leo

Kikosi cha Yanga
Kikosi cha USM Alger


Bado dakika chache mtanange huu uanze, kaa hapa nami kwa upates mbalimbali.

Vikosi vimeshaingia Dimbani wa ajili ya kupasha misuli joto
---
Vikosi vimeshaingia dimbani tayari kukiwasha.

Atmosphere ya Uwanja ni hatari sana. Hawa waarabu wamepiga fataki za kufa mtu mpaka uwanja unafuka Moshi

- Mpira umeanza kwa kasi huku Yanga wakilifikia lango la Algers mapema bila kupata bao

- Yanga wanapata penati dakika ya 5 Djuma amepewa aipige

- Gooooool Yanga wanatangulia hapa...

- Timu zinashambuliana kwa zamu sasa ni dakika ya 15

- Dk 20 bado timu zinashambuliana huku umakini ukiongezeka. Yanga bado anaongoza bado Moja la Djuma Shabaan

- Dakika 35 Yanga wanasukuma mashambulizi kuelekea lango la USM Alger

- Dakika ya 39 ni Water Break hapa

- Dakika ya 45 zimekamilika zimeongezwa dakika 5 hapa

- USM Alger wanapa faulo katika eneo zuri. Diara anaokoa kwenye chaki.

- Mapumziko Yanga wanaenda wakiwa mbele ugenini

- Kipindi cha pili kimeanza

- USM Alger Wanafanya mabadiliko ya wachezaji wawili

- Dakika ya 54 bado timu zinashambuliana

- Dakika ya 56 USM Alger wanapata mkwaju wa penati..

- Diaraaaaa anadaka hapa

- Dakika ya 61 anatoka Kisinda anaingia Morrison

- Dk 65 yanga wanapeleka mashambulizi ya kasi

- Dk 71 anaingia Aziz Ki anatoka Musonda

- Dk 80 bado mechi Ina kasi kubwa timu zote zinashambuliana

- Mzize na Farid Mussa wameingia Lomalisa ametoka

- Dk 90 zimeongezwa 6

FT Yanga ameshinda lakini hajafanikiwa kutwaa ubingwa
Dunia ya mpira Jana imetambua uwepo wa Tanzania...

Hongereni watani bahati haikua yenu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] povuuuuuu jingiiii, USMA wana balaaaaaaaah!!!
Ukweli usemwe,wale waarab hawana balaa lolote,ni timu ya kawaida tu wangekua na balaa jana wangesingefungwa tena kwao na penati wamekosa kabisa,
Ni vile tu bahati haikua kwetu ila ile timu haina maajab yoyote!
 
sema mwanangu @Suray2019 paragraph yako ya mwisho tamu sana... FT yanga ameshinda ila hajachukua ubingwa. Hahaha nilisema jana namna pekee ya yanga kulichukua hili kombe ni kwa kuliiba tu.
 
Yanga amekosa kombe kwasababu za kikanuni na sio matokeo ya uwanjani!, Tumewapelekea Moto waume zenu mpaka wakatamani mechi iishe...😅. Ila najua na wewe hicho kimoja bado kimekulowanisha kiboxer? Au natania ndgu yangu🙄
Anayecheka siku zote ni yule anayecheka mwisho, wewe umepeleka moto uarabuni na wao walipeleka moto tz, anaejua zaidi kawa bingwa
 
Popote ilipo mwana thimbaaaaa agiza Pepsi baridiiiii sio bia nakuja lipa bili, tusherehekee kombe la kufa kiume
 
Ndiyo naamka mida hii sikufanikiwa kuangalia mpira jana vipi matokeo huko ndege yetu inarudi na kombe au aibu!?
 
Makolo Madunduka Maandazi yanawashangilia waume zao Waarabu... Mpumbavu ni mpumbavu tuuu...
Mwanaume kumshangilia muarabu maana yake unaweza hata kushika ukuta ukaliwa tigo...
we ulivokua unawashangilia wydad nan alikuingilia ko wew ulikua unashbkia wanawake pale au , kipindi nyie mnaenda eapot kuwapokea wapinzan walikua n kina nan c wanaume wenzenu. Hahaha punguza makasiriko mtoto wa kiume unakua kama pisi bn
 
Back
Top Bottom