FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Vijana wamejitahidi aisee ni goli la ugenini tu ndio limezima ndoto.

Na safu ya ushambuliaji ilikua butu kabisa, kipa wa Usma wala hajapata shurba..
Azizi ki kama kawaida yake, yupo kama hayupo.
 
Ukweli usemwe,wale waarab hawana balaa lolote,ni timu ya kawaida tu wangekua na balaa jana wangesingefungwa tena kwao na penati wamekosa kabisa,
Ni vile tu bahati haikua kwetu ila ile timu haina maajab yoyote!

Kosa lenu ni kuruhusu magoli ugenini mkabisha oh tuanpindua meza. Mistake mlianzia nyumbani haijalish alger ni timu mbov kias gani
 
MEDALI FC MSIZANI TUMELALA TUPO MACHO[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Habarini za Leo..Binafs sina ninachowadai wachezaji wa yanga benchi la ufundi na viongozi wa yanga...hapa tulipoishia ni kwa uwezo wa Mungu Wachezaji na viongozi wa Yanga..

Tujipange kwa msimu ujao, naamini tutakuwa bora sana kuliko msimu huu,

Yanga ni timu Bora sana Africa, Yanga imeonyesha ukubwa wake jinsi ya kumpiga mwarabu kwao mifupa uliwashindwa timu nyingi na hawa ndugu zetu Makolo, najua dhihaka imekuwa kubwa toka kwa hawa ndugu zetu waliofeli, tunajua nguvu ya dhihaka zao zinatoka na msongo wa mawazo baada ya kuona tuna timu Bora sana.

Ndugu zangu pigeni mkono kufuni na kusema sisi ni washindi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] washindi wa nn sasa?? Ushakunywa chai kwan? Au ndo hujisikii hamu ya kula?? Woiiiiii
 
Ukweli usemwe,wale waarab hawana balaa lolote,ni timu ya kawaida tu wangekua na balaa jana wangesingefungwa tena kwao na penati wamekosa kabisa,
Ni vile tu bahati haikua kwetu ila ile timu haina maajab yoyote!
Wao waarabu ndo hawakua na bahati kwao, kukosa penalty sio jambo dogo, famchezo nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wamejitahidi aisee ni goli la ugenini tu ndio limezima ndoto.

Na safu ya ushambuliaji ilikua butu kabisa, kipa wa Usma wala hajapata shurba..
Azizi ki kama kawaida yake, yupo kama hayupo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aziz Kii bhana, afu analipwa pesa ndefuuu mweeeeh
 

Attachments

  • 1685729833429.jpg
    1685729833429.jpg
    35.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom