Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Vyura wamelala kwenye madimbwi. Mji upo kimya kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ndio wakali wa hizi kazi .
Umetoka jela nini mkuuWatanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206382
Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206383
Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206385
Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206386
Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206388
Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..
Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA
Team COVID 19
View attachment 3206389
Naam ndio ndio 😎😀😃Sisi ndio wakali wa hizi kazi .
Matokeo yoyote ya leo hayataunyamazisha mji, maana ya jana bado hayajaexpireCS Constantine japo hawa wamefuzu robo, nisaidieni kusafisha mji uwe kimya na msafi
Kila la heri muwakilishi halisi wa Nchi ya TanzaniaView attachment 3205833
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi
Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili
Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni
Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo
Ubaya Ubwela
Sisi ndio wakali wa hizi kazi .
Na mbu watatu vipiVyura wamelala kwenye madimbwi. Mji upo kimya kabisa
Anakwambia GSM waiyo waiyo dobi dobiiiBonge la nyimbo na litaishi hata miaka 500 sio lile ya utaifungaje , ambalo lilikua ni suala la mda tu😅😅😅😅
Raha tulipata jana inatosha. Kuepuka kisukari mkuu.Mechi haina Hata Raha
kwa uhatar upi alionao bora KibuAhua ni hatari huyu mtoto, slow ila hatari.
Hilo ndilo mlilolitengenezea documentary na kuvaa medal zake na mkala supu jangwani.Looser cup 😀
Angalia mpira mkuu utaziona hatari zake.kwa uhatar upi alionao bora Kibu