FT: CAFCC: Simba SC 2-0 CS Constantine | Estadio Benjamin Mkapa | 19.01.2025

FT: CAFCC: Simba SC 2-0 CS Constantine | Estadio Benjamin Mkapa | 19.01.2025

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206382

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206383

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206385

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206386

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206388

Watanzania Wanajenga Jamani zamani wakati nasubiria Mechi Ya Simba nilikuwa Natandika hii Kitu..


Nianze kuwasimulia watoto wa 2000 nitaweza wapi!? Wacha NIFE na STORY ZANGU ZINAWAKERA

Team COVID 19

View attachment 3206389
Umetoka jela nini mkuu
 
View attachment 3205833

Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi

Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili

Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni

Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo

Ubaya Ubwela
Kila la heri muwakilishi halisi wa Nchi ya Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: BRN
After yellow card , kwa uchezaji wa KIBU, red card ni possible
 
Back
Top Bottom