Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiuma semaLooser cup 😀
Yamepungua ndugu yanguAsante mtani wangu...
Vipi hali kwa leo unajisikiaje? Maumivu yamepungua?
Naam ndio ndio 😎😎Hii mechi msitupangie..
Tukiamua kulala uwanjani tunalala..
Umetolewa mwiko nyuma na ukadungwa sindano ya kausha damu. Tulia uone kazi ya wanaume leoLooser cup 😀
Looser cup 😀
baelezee haba batoto baelewe.Hii mechi msitupangie..
Tukiamua kulala uwanjani tunalala..
Kombe la mbuzi la makoloView attachment 3205833
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi
Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili
Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni
Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo
Ubaya Ubwela
Mkuu jana nimekuwa disappointed sana.Baki Nbc nyumbani kumenoga...😂😂😂
Bado hujasema vzrWatakaofuatilia mpira wa leo ni jobless
Champs wa nn?Let's go champs 🦁🦁🦁