FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

USM inapeleka mashambulizi mengi kwenye lango la Asec Mimosa
 
Kukaa kimya kunasaidia kuliko kuonesha hisia zilizojaa chuki kwa kila hatua anayopiga Yanga..
Na umesahau Jana tu ulikuwa ukiwasifia Marumo ni timu Bora na Yanga anaweza kula 3-0 hapo Kwa madiba, Leo unawakataa na kusema Yanga anazali la kupangwa na vibonde?
Marumo kampiga huyo unayemsifia USM Alger, kamtoa Pyramids na leo unawaita wachovu?
Usijichoshe mimi siipendi Yanga hilo unatakiwa kuishi nalo
 
Huku UEFA ule mpira wa KDB ulitoka nje
 
UEFA Updates

Man city wanakosa bao
 
USM Alger wanafanya shambulizi hapa lakiki kipa anatokea na kuudaka mpira
 
Siipendi ila siwezi onesha chuki kwenye jambo lililo wazi.., kutokupenda kitu haimaanishi unakichukia
Kutoipenda halafu ukashindwa kujionesha kama huipendi ndio unafiki huo
 
UEFA

Possesion 79% kwa 21

Ebu kwanza

Hawa ni Madrid au Marumo?
 
UEFA

21'.

Kipa wa Madrid anafanya save mpira wa Haaland uliopigwa kwa kichwa
 
UEFA

23'

Gooooooal

Da silva anapachika hao la kwanza
 
25'

Freekick kuelekea lango la Asec Mimosa

Mpira unapigwa unaokole na beki unamkuta mchezaji wa USM Alger anapiga shuti kali linaenda nje ya lango
 
26'

Goooooooooooal

USM ALGER wanaandika bao la kwanza hapa
 
Back
Top Bottom