Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachambuzi wa ZBC baada ya mechi walisema upande wa Yanga toka wakati wa drooo inapangwa mshindi anaanza nyumbani final.Hizi taarifa mmezipata wapi?
Wewe unatumia muda gani kujuwa muelekeo wa mechi?Umejuaje mnakutana na USM na sio Asec?
Hawa wachezaji wakigeni wameleta challenge kias Fulani kwenye sokaletu ukudaukuda wa wachezaji kujisikia umepungua maana watu wamekuja kupiga kazYanga mwaka huu wana zari sana yani wamenifanya nikae ndani muda huu wakati sio kawaida yangu
Sidhani kama wako sahihi, Yanga inaanzia ugenini inamalizia fainali kwa Mkapa.Wachambuzi wa ZBC baada ya mechi walisema upande wa Yanga toka wakati wa drooo inapangwa mshindi anaanza nyumbani final.
USM wameliandama lango la Asec kwa speed sana.Wewe unatumia muda gani kujuwa muelekeo wa mechi?
Mpaka sasa Asec hii first half ilibidi wawe wameshakufa 3 kwa 0
Yanga anaanzia NyumbaniSidhani kama wako sahihi, Yanga inaanzia ugenini inamalizia fainali kwa Mkapa.
Sasa itakuwaje kwa wale jamaa wengine? Maana walishatangulia kwenda Asec. Kila wanapotangulia wao pana haribika.Hawa USM Alger tukiweza kukomaa nao kwao basi hili kombe kwa Mkapa Yanga analibeba.
Mechi ninavyoiona Asec hawachomoki wameshaingizwa kwenye mfumo wa Waarabu.
Mnatuanza wenyeweSasa itakuwaje kwa wale jamaa wengine? Maana walishatangulia kwenda Asec. Kila wanapotangulia wao pana haribika.
Walitangulia Pyramids, ikawa kinyume, wakaemda na mbabe wa Pyramds wakaishia kupondwa.
Kabla ya matokeo ya leo walikua mguu Pyramuds, mguu Asec, baada ya matokeo wamehamia Asec.
Wakija kustuka watakuta timu yao imewaongeza mkataba wa miaka miwili Josh Onyango na John Bocco .
Sema jamaa wako Vizuri wanapiga pila biriani hatariHawa USM Alger tukiweza kukomaa nao kwao basi hili kombe kwa Mkapa Yanga analibeba.
Mechi ninavyoiona Asec hawachomoki wameshaingizwa kwenye mfumo wa Waarabu.
Mwanasimba katika Ubora wake. Wakili wa Feisal.Tuwe tu wakweli kati ya hizi timu zingekutana na Yanga hatua za mwanzoni huu umbali tusingefika
ASEC hatoki ila kitakachompa matumaini goli la ugeniniUmejuaje mnakutana na USM na sio Asec?
Yeyote yule na aje tu sisi tunawasubili fainali.USM wameliandama lango la Asec kwa speed sana.
Lakini matokeo yanaweza kuja tofauti hilo linawezekana, unaweza ukawa unatawala mchezo unafanya mashambulizi lakini mwisho wa siku ukatoka na goli lako moja, halafu marudiano ukapigwa 3 au 2
Uefa haijawahi kupigwa ijumaa mkuuAfu hoyo game nilikuwa najua eti inapigwa ijumaa.
Aisee itanibidi niziamgalie zote na update zote zitakuwa hapa hapa