FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

Umetoka kwa pyramids, ukaja kwa Marumo saivi umehamia kwa Asec na USM. Unaangaika sana mkuu, kila timu inayocheza na Yanga utaiona mbovu.
Utakuwa hunifatilii, nilianzia kwenye Al Hilal
 
F2882F5B-C11D-4B6C-AEF2-15024176434F.jpeg

Bring anyone
 
Vikosi vya timu zote
asec_mimosas_officiel-20230517-0001.jpg
 
Utakuwa hunifatilii, nilianzia kwenye Al Hilal
Baada ya mechi ya Yanga kuangukia shirikisho ukatabiri watacheza fainali? Si mambo yakawa wataishia kwa fulani mara kwa fulani. Wewe ni mmoja wa watu walioamini kuwa Yanga atatolewa na Marumo
 
Vikosi vyote vipo uwanjani
 
Baada ya mechi ya Yanga kuangukia shirikisho ukatabiri watacheza fainali? Si mambo yakawa wataishia kwa fulani mara kwa fulani. Wewe ni mmoja wa watu walioamini kuwa Yanga atatolewa na Marumo
Hata wewe naamini hukutabiri
 
Muda wowote kuanzia sasa mpira unatarajia kuanza
 
Upande wa UEFA huku mambo nako ni noma
 
USM walikuwa wanafanya shambulizi la mapema hapa na kupata kona dakika ya kwanza ya mchezo
 
Mechi imeanza kwa speed sana
 
Sasa we ulitegemea mi niipende timu yako wakati nami nina yangu?
Kukaa kimya kunasaidia kuliko kuonesha hisia zilizojaa chuki kwa kila hatua anayopiga Yanga..
Na umesahau Jana tu ulikuwa ukiwasifia Marumo ni timu Bora na Yanga anaweza kula 3-0 hapo Kwa madiba, Leo unawakataa na kusema Yanga anazali la kupangwa na vibonde?
Marumo kampiga huyo unayemsifia USM Alger, kamtoa Pyramids na leo unawaita wachovu?
 
Back
Top Bottom