Mwarabu anaongoza Huko....Raha sana kufatilia ligi ya mabingwa sio shirikisho🤣🤣🤣🤣🤣
Mwarabu anaongoza Huko....
AmeenMungu wabariki waarabu
Mbona unaongea kinyume chake? Yanga ipo vizuriYanga wanaishi kwa matumaini kama mgonjwa wa ngoma
balaaDakika ya 8 mchezo umesimama kufuatia mchezaji mmoja wa Mc Algier kuanguka baada ya kuchezwa faulo
Al Hilal na wenyewe wana riskMbona unaongea kinyume chake? Yanga ipo vizuri
View attachment 3193593
Refa anawaamini al hilal ikidhani khwa algers wanadanganyaHuyu refa anatoa sana njugu
Halafu kuna matukio ya freekick ya nchi mbili kufika kwenye box ambayo yangewnda kuwa faidi kwa Mc Algier anayamezea filimbi
Mbele nyuma,nyuma mbeleMbona unaongea kinyume chake? Yanga ipo vizuri
View attachment 3193593
Kifupi Al Hilal anaweza asiendelee mbele kama atakubali kufungwa leo.Kifupi Mc Algier akishinda Yanga bye bye,maana Mc Algier atachukua point 3 kwa Mazembe na atakuwa na points 10,huku Yanga itabidi atafute points za michezo yote iliyobaki huku Al Hilal naye akitafuta draw tu
teh teh teh, nimeipenda hii, umetisha kakaKuna watu wamegeuka wapiga dua baada ya hesabu kuto favor-upande wao