GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Tupe msimamo wa ligi ya mabingwaRaha sana kufatilia ligi ya mabingwa sio shirikisho🤣🤣🤣🤣🤣
Wa shirikisho huo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe msimamo wa ligi ya mabingwaRaha sana kufatilia ligi ya mabingwa sio shirikisho🤣🤣🤣🤣🤣
unapiga hesabu gani mkuu?Kuna watu wamegeuka wapiga dua baada ya hesabu kuto favor-upande wao
Kuandika tu atawapiga ila uwanjani ni aibu tupuKifupi Al Hilal anaweza asiendelee mbele kama atakubali kufungwa leo.
Yanga ana point 4 mechi mbili mkononi!
Akimpiga Al Hilal na MC Algiers.
Ana uhakika.
Al hilal ana mechi 2 pia zilizobaki,Mechi ya Yanga na Tp MazembeKifupi Al Hilal anaweza asiendelee mbele kama atakubali kufungwa leo.
Yanga ana point 4 mechi mbili mkononi!
Akimpiga Al Hilal na MC Algiers.
Ana uhakika.
Muda ni mwl mzuriKuandika tu atawapiga ila uwanjani ni aibu tupu
Sawa, unataka kusema Mazembe watamwachia?Al hilal ana mechi 2 pia zilizobaki,Mechi ya Yanga na Tp Mazembe
Muda ni mwl mzuri
Kifupi Al Hilal anaweza asiendelee mbele kama atakubali kufungwa leo.
Yanga ana point 4 mechi mbili mkononi!
Akimpiga Al Hilal na MC Algiers.
Ana uhakika.
Kwa hili kundi timu 3 zinashindana kuingia.Hizi hizi za kihasibu
Al hilal mguu mmoja kashavuka maana anatafuta draw mkuu,hata leo akidraw amevuka,mchuano upo kwa Yanga na Mc AlgierSawa, unataka kusema Mazembe watamwachia?
anahitaji point 1 tu na magoli walau 3.Al hilal lazima avuke maana ana point 9 tayari na bado ana mechi na vitoto vya mazembe..
Sawa, unataka kusema Mazembe watamwachia?
Kwa hili kundi timu 3 zinashindana kuingia.
Al Hilal bado hana uhakika akipoteza hizo game 2 habari yake imeishia hapo