Zakayomfupi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 281
- 320
Hawa waarabu itakuwa wamepanga matokeo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazembe hao na anamalizia LubumbashiAl hilal katika mechi zake mbili ana nyepesi pia. Anacheza na mtu ambaye hana nia ya kufuzu
Hawa waarabu itakuwa wamepanga matokeo.
Mazembe hao na anamalizia Lubumbashi
Tunaenda kufuzu Angola, tunatafuta draw tuConstantine 2-0 Bravo
Wapange matokeo wakati bado hakuna ambaye kaisha kata tiketi ya kufuzu? Hata hao Al Hilal wenyewe pamoja na kuwa na point 9 bado kimahesabu anaweza asifuzu kama atapoteza mechi mbili zinazofuataHawa waarabu itakuwa wamepanga matokeo.
Kufuzu UMISETA?Tunaenda kufuzu Angola, tunatafuta draw tu
Haya maneno yalitamkwa hivi hivi baada ya mechi ya Al Ahly vs Belouizdad huku Yanga wakiwa na point 5 pekee. Ila kilichokuja kutokeaAl Hilal na Mc Algier ndio wanaopita.
Nyie mtaishia kuwa wakunja ngumi tu.
Wapange matokeo wakati bado hakuna ambaye kaisha kata tiketi ya kufuzu? Hata hao Al Hilal wenyewe pamoja na kuwa na point 9 bado kimahesabu anaweza asifuzu kama atapoteza mechi mbili zinazofuata
Na anashinda vizuri sanaMc Alger akishinda hii mechi, nakubali wazi Yanga safari yetu itakuwa imeishia hapa
Hauwezi kuishi kupitia bahati siku zote.Haya maneno yalitamkwa hivi hivi baada ya mechi ya Al Ahly vs Belouizdad huku Yanga wakiwa na point 5 pekee. Ila kilichokuja kutokea
....Kufuzu UMISETA?
Tujipange next seasonNa anashinda vizuri sana
😅🤣😂 Mbumbumbu nakukaanga hadi unaonyesha unavomiliki ubongo wa bataKumpiga mama yako mtungo
Matokeo mabaya Kabisa kwa YANGAMechi imeanza na saizi tayari MC Algier ametangulia bao moja
😅🤣😂 Mbumbumbu nakukaanga hadi unaonyesha unavomiliki ubongo wa bata