Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Hamna goli anazingua huyoSafi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna goli anazingua huyoSafi sana
Hata wakienda Congo, Mazembe ameshatoka na ana uhakika wa kuwa wa mwisho hana motivation yoyote. Kazi yetu itakua ngumu sana Algers wakishinda.Al Hilal wanaenda Congo
Labda Mazembe wasuse waamue tu kuacha
Tupo liveMechi imeanza na saizi tayari MC Algier ametangulia bao moja
anahitaji point 1 tu na magoli walau 3.
ili asifikiwe.
Akipoteza leo, akipoteza kwa Yanga akidroo na Mazembe haipiti.
Hakika kazi ni ngumu mnoHata wakienda Congo, Mazembe ameshatoka na ana uhakika wa kuwa wa mwisho hana motivation yoyote. Kazi yetu itakua ngumu sana Algers wakishinda.
app / website gani hii ?View attachment 3193681
Hesabu za wapi hizo
Mc Alger akishinda hii mechi, nakubali wazi Yanga safari yetu itakuwa imeishia hapa
Nimekwambia kumfunga Mc Alger goli 3 kwasababu ndiye anayemaliza nae mechi ya mwisho Benjamin Mkapa na kinachoangaliwa ni head to head.Wewe unavyoona Yanga anaweza kumfunga Al Hilal 3-0 ugenini au Hilal wanaweza kukosa point moja kwa Mazembe?
Ndio mjue Mwakalobo ni ngumu mpunguze kamdomo😂😂😂Hakika kazi ni ngumu mno
Kwani matokeo yakibaki hivi Yanga wakashinda mechi zake hata hesabu za waki waka tuka zinakataa?
Naomba jina la appView attachment 3193683
Kunja ngumi kama wenje
😅🤣😂Ndio mjue Mwakalobo ni ngumu mpunguze kamdomo😂😂😂
Kwani matokeo yakibaki hivi Yanga wakashinda mechi zake hata hesabu za waki waka tuka zinakataa?
Kusawazisha anasawazisha ni suala la mda tuAisee ilibaki hivi wajinga wasawazishe
Ili yanga apite itabidi mechi mbili zilizobaki tupate goli zaidi ya tano, Mc Alger afungwe kwa mkapa, ugumu unakuja Mazembe inabidi amfunge Mc Alger huko kwao (sio draw).Kwani matokeo yakibaki hivi Yanga wakashinda mechi zake hata hesabu za waki waka tuka zinakataa?