Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kwa hiyo hapa hesabu ni Yanga atamfunga huyu Al hilal na Mc alger siyo? Kazi ipo, hapa muombeeni Mazembe afufuke naye asaidie kumpunguza mmoja kasi ila hawaonekani kama ni wepesi sana.hili kundi yanga anavuka