princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Au sijui Bhahresa aanzishe miwanda cha Sambusa za Nyama tuwasage ma straikerš¤£š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sijui Bhahresa aanzishe miwanda cha Sambusa za Nyama tuwasage ma straikerš¤£š¤£š¤£
Wapiuzi sana, ndiyo maa kuna mahala nilisema Azam ni vile tu wana hela ya maana, nje ya hela walizo nazo ni timu ya Mashindano ya Kombe la Ramadhani tuEti hao nao walikuwa wawakilishi wa nchi kimataifa,....Aibu
Kosa kubwa la TFF lilikuwa lile la kuruhusu matokeo ya kati ya Azam Vs Kitayose kusimamama kama matokeo kamili. Ni matokeo hayo hayo nusura yatupe Feisal kama mfungaji bora. Unaona aibu tuliyopata sasaKabisa mkuu, hii ilikuwa nafasi ya Mnyama Simba sio hao walamba Koni hata kina Scars Kalpana OKW BOBAN SUNZU wanakubali hili..
Hichi kitengo cha kugawa majukumu kingekufaa sana,Bhahresa akuoneAu sijui Bhahresa aanzishe miwanda cha Sambusa za Nyama tuwasage ma straiker
Na huu ndio ukweli.Wachezaji wa azam wote wakihamia Simba wanachukua ubingwa wa NBC
Ni mara mia Simba mbovu kuliko Azam iliyo kwenye peak. Simba mbovu lakini ikafika hadi robo fainali. Azam ni matapeli wa mpira.Kuna mahali nilishauri Azam wawe wanapokwa point, wasimalize nafasi ya 2
Kwa heshima ya nchi
Ni heri wapate kocha wa aina ya Mexime, sina uhakika na mbinu zake ila na uhakika huwa haendekezi upumbavu.Timu haina kocha, yaani yule kocha bora wangemchukua Mexime.
Nimeanza lini kuwa Azam
Yani hii walifosi tukawaachia madogo nao waoshe nyota ona sasa kilichotokeaKabisa mkuu, hii ilikuwa nafasi ya Mnyama Simba sio hao walamba Koni hata kina Scars Kalpana OKW BOBAN SUNZU wanakubali hili..