FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024

FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024

Ukiwasikiliza wachambuzi wa Bongo wakiwa wanawasifia Azam unaweza ukadhani ni Bonge moja la timu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati ni kikundi cha kukanda 'NGANO'. Wale vijana hawapo serious plus management yao.

Kifupi Azam hawajui wanachokitaka.
Hawana njia za kutimiza 'Mission' zao.
La kujifunza, Pesa sio kila kitu katika maisha.
 
Kwa kuwa kule misri hakuna Azam nazi, azam cola na maji ya uhai ameamua aishie hatua ya awali.
 
Timu inayoshika nafasi ya 2 ligi kuu ya NBC ligi no.6 kwa ubora
Hakuna walichofanya zaidi ya kwenda kutufedhehesha ugenini azam wakirudi wakapige deki chamanzi wakande unga wiki wale mabeki wauze ukwaju kwenye Tamasha la kizimkazi
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom