FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

7''
Wydad wanafanya uzembe hapa nusra wajifunge ni kama bahati mpira umeenda nje ya lango na kuwa kona
 
Al Ahly wanakuja kwa speed kwenye lango la Wydad
 
Kulikuwa na mgogoro mmoja ulitokea ulivuruga sana mechi kwenye moja ya fainali za CAF ndio hapo wakaamua wakae waangalie namna ya kutatua changamoto ni kuweka fainali mbili.
Lini huo mgogoro? Ilikuwa nani vs nani? Mgogoro ulihusu nini? na je wawakilishi wa vilabu walipitisha hii kanuni
 
10'
Freekick wanapata Al Ahly
 
11

Al Ahly wanajikanyaga kanyaga hapa na kupoteza nafasi ya wazi
 
Tau hiki chuma ni hatari.
 
17'
Al Ahly wanakosa bao hapa baada ya beki ku block mpira anbao ulikuwa unaenda kambani
 
18'
Al Ahly wanapiga shuti moja baada ya Wydad kupoteza mpira lakini kipa anafanya save bora kabisa
 
Unavaa kikamba unasema medali eti umepambana.

Unaona hapa kinachofanyika?
 
20'
Al Ahly wanapata kona ya 4 hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…