Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
wakicheza na wamatumbi wanafanya visanga mpaka basi.Waarabu kwa waarabu hawarushiani mipira minne minne...shida wakicheza na sisi manyani...
Mkuu , ni uke wa Ihefu au ule wa Ihefu. Rekebisha kidogo hapoNilikuwa naangalia highlights za mechi ya under 17 kama sikosei DSTV walirusha baada ya halftime
Ilikuwa ni Brazil dhidi ya Tunisia, uwanja ni mbovu kishenzi yani uke wa Ihefu ni bora kuliko huu
Huna akili hawa al ahly kwenye hizo hatua zenu za robo kuja chini anakuaga wakawaida tu msimu huu yenyewe nusura ashike mkia kwenye kundi alikula 5 na maswandanaIkumbukwe Simba ilishaongoza kundi Ilimokuwepo Alhaly...
Watabondwa tuu..Kama Wyda wakibondwa kuku kishingo anaweza kutimuliwa.
wangekua wastaarabu hawa mbwa Wyda tungewaazima ile mvua yetu.Watabondwa tuu..
Mkuu ,umeumia sana kuliko yangaHalafu kuna vitoga wanasema eti wamefika fainali kwasababu ya ubora
Umefika fainali kwasababu hujakutana na Wydad, Al Ahly, Al Hilal, Mamelody, Raja.
Unamfunga River na ile Marumo timu ya uzaramuni halafu unakuja kuvimba?
Eti nimevaa medali. Medali bila ubingwa ni sawa na shanga tu.