Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio mnapoonekana ni mambumbumbu[emoji706]Simba wapewe heshima japo kidogo kwa kumpiga mwarabu home
Huo ni mtazamo wangu sio kwa ubaya lakiniHapo ndio mnapoonekana ni mambumbumbu[emoji706]
Wanajivunia kutolewaHapo ndio mnapoonekana ni mambumbumbu[emoji706]
Shangaa nawew Hawa ni zaidi ya mbumbumbu aisee.. Yaani timu inajivunia iliwahi kumfunga fulani wakati matokeo ya jumla waliondolewa mashindanoni.Wanajivunia kutolewa
Aseno hatoboi hii ligi.Kudadek hii ndio ligi sasa sio zile rede za losers
Kwenye hii ligi nabi alicheza mechi mbili akatolewa. Hii ni ligi ya mabigwaMamelod vipi tena..??!! aje nabi kuwasaidia
Mpira ni kitu cha ajabu hata nabi huko alikotoka itakuwa alifukuzwa ila huku anaimbwaTukumbushane... kwa nini Simba walimfikuza van der Broek? Tactician mzuri sana.
Wewe huku kwa wwkubwa si ulikimbizwa kama mwiziShangaa nawew Hawa ni zaidi ya mbumbumbu aisee.. Yaani timu inajivunia iliwahi kumfunga fulani wakati matokeo ya jumla waliondolewa mashindanoni.
Sishangai wapo stage Ile Ile zaidi ya miaka mitano sasa