kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Lakini ikimalizika hivi Mnyama anashinda AGG 5-3 kutokana na faida ya magoli ya ugenini.Ag 3:3
tuna timu ya kuungaUngaTimu yetu haipo sawa
Acha uboya,sijakuulizaUwe unafatilia mpira
Ni kweli mkuuLakini ikimalizika hivi Mnyama anashinda AGG 5-3 kutokana na faida ya magoli ya ugenini.
Tuko jukwaa Jingine hili Jua kutofautisha Kila jukwaa na Mambo yake ndo nyinyi mnamlazimisha Mchungaji wenu ashindwe fanya hata mambo yanayomuhusu kwa kuogopa jamii itamuonaje ndo maana nasemaaga siku zote dini ni utumwa na mimi si miongoni mwa watumwa....Hahaaa, msomi wa dini unaamini sana kwenye dawa😀😁😂🤣😩😆
Watu mnapenda vyeo 😂Amekusikia robertinho
Kocha wa simba nilimuona hamnazp aliposhangilia ule mchezo simba ya nyanga Tanga.
Kama mtaalam angezema licha ya kushinda tumecheza vubaya tutaboresha zaidi. YEYE ANASHANGILIA KAMA. MSHABIKI HAHAHAH
Unachosha watu... msivamiage mechiAcha uboya,sijakuuliza
Yeah ni kweli kabisa tunakosa coordination na tangu game linaanza tunacheza kama watoto wa umiseta au umitasumta nafikiri Kocha anatakiwa atupe majibu ys kutosha maana hata formula ya mchezo haielewekiHapana ankoli 🤣, Haya ni mambo ya Ki fitness, intiligent, coordination
Yenye wazee pia.tuna timu ya kuungaUnga
Hapana Kaka matokeo ni 4-3Magoli ya ugeni yahesabiwa 2 Kila goli hivyo ikimalzika hivi itakuwa ni 5-3.
Hujui Kitu Kuhusu Goli La Ugenini.Lakini ikimalizika hivi Mnyama anashinda AGG 5-3 kutokana na faida ya magoli ya ugenini.
Naona unawashwa,amekuchosha Nani wewe ndio umeulizwa?wewe unajua kila kitu?Unachosha watu... msivamiage mechi