FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

Sasa kama kitimu cha hivi unahema hivi
 
Hahaaa, msomi wa dini unaamini sana kwenye dawa😀😁😂🤣😩😆
Tuko jukwaa Jingine hili Jua kutofautisha Kila jukwaa na Mambo yake ndo nyinyi mnamlazimisha Mchungaji wenu ashindwe fanya hata mambo yanayomuhusu kwa kuogopa jamii itamuonaje ndo maana nasemaaga siku zote dini ni utumwa na mimi si miongoni mwa watumwa....

Tuenjoy Mpira kaka 1:1 huko umeona bocco katupia
 
Dakika ni 4.
Nyongeza
 
Kocha wa simba nilimuona hamnazp aliposhangilia ule mchezo simba ya nyanga Tanga.

Kama mtaalam angezema licha ya kushinda tumecheza vubaya tutaboresha zaidi. YEYE ANASHANGILIA KAMA. MSHABIKI HAHAHAH

Linganisha na Taifa stars japo ilifuzu ..
 
Hapana ankoli 🤣, Haya ni mambo ya Ki fitness, intiligent, coordination
Yeah ni kweli kabisa tunakosa coordination na tangu game linaanza tunacheza kama watoto wa umiseta au umitasumta nafikiri Kocha anatakiwa atupe majibu ys kutosha maana hata formula ya mchezo haieleweki
 
Lakred anakula kadi
 
Back
Top Bottom