Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 May 13, 2023 #121 Scars said: Au kadi nyekundu ilienda kwa Wydad ila sisi tuliona vibaya? Click to expand... Ebu Scars hesabia wachezaji.
Scars said: Au kadi nyekundu ilienda kwa Wydad ila sisi tuliona vibaya? Click to expand... Ebu Scars hesabia wachezaji.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #122 60' Wydad wanapiga freekick lakini unagonga ukuta na kufanya Mamelody wawe salama
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #123 Mad Max said: Ebu Scars hesabia wachezaji. Click to expand... Haiwezekani hii lazima itakuwa kiini macho Unawezaje kuelezea mtu akakuelewa kuwa timu yenye upungufu wa mchezaji mmoja ndio ina posses kwa 57% tena ni timu ambayo sio wenyeji? Hii unawezaje kuelezea ukaeleweka?
Mad Max said: Ebu Scars hesabia wachezaji. Click to expand... Haiwezekani hii lazima itakuwa kiini macho Unawezaje kuelezea mtu akakuelewa kuwa timu yenye upungufu wa mchezaji mmoja ndio ina posses kwa 57% tena ni timu ambayo sio wenyeji? Hii unawezaje kuelezea ukaeleweka?
karv JF-Expert Member Joined Dec 26, 2019 Posts 1,802 Reaction score 3,253 May 13, 2023 #124 Wydad hapo muhamed wa 5 anabebwa sana na marefa Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #125 Pasi 307 dhidi ya pasi 222. Mwenye pasi 307 ni mgeni, lakini pia yupo pungufu. Hii imekaaje?
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 May 13, 2023 #126 Mamaelody hanaga cha egenini wala nyumbani popote yeye anaupiga kama yupo home,na uo ndo mpira wa Ulaya ulivyo,Madrid kadraw kwao anaenda kimpasua Man city kulekule kwenye kaburi la Bibi Elizabeth.
Mamaelody hanaga cha egenini wala nyumbani popote yeye anaupiga kama yupo home,na uo ndo mpira wa Ulaya ulivyo,Madrid kadraw kwao anaenda kimpasua Man city kulekule kwenye kaburi la Bibi Elizabeth.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #127 64' Wydad wanafanya shambulizi hapa lakini mlimda mlango anaokoa hatari
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 May 13, 2023 #128 Go mamelod go
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #129 Commentetor hawezi kuonekana wa maana bila kuitaja Simba
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #130 67' Wydad wanafanya mabadiliko tena
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #131 Kuna Kisinda wa uarabuni hapa
Thaari JF-Expert Member Joined Sep 8, 2022 Posts 402 Reaction score 645 May 13, 2023 #132 Mamelodi wanaenda kumuua mtu south Africa
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 May 13, 2023 #133 dk ya ngapi?,Kama vipi refa amalize mpira,kwanza wasauzi wanamajonzi jirani zao tumefiwa huku.
karv JF-Expert Member Joined Dec 26, 2019 Posts 1,802 Reaction score 3,253 May 13, 2023 #134 Scars said: Commentetor hawezi kuonekana wa maana bila kuitaja Simba Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Scars said: Commentetor hawezi kuonekana wa maana bila kuitaja Simba Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #135 Dakika ya 72' game ni bila bila Wydad wanafanya sub ya tatu huku Mamelody hajaonekana kufanya sub yeyote
Dakika ya 72' game ni bila bila Wydad wanafanya sub ya tatu huku Mamelody hajaonekana kufanya sub yeyote
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #136 Wale waliokuwa wanamshangaa Robertinho kwa tabia yake ya kuchelewa kufanya sub. Angaliemi hii dakika ya 75 hakuna sub iliyofanyika. Na hapo ilitegemewa pengine ndio angekuwa wakwanza kufanya sub kwasababu game plan yake ishakuwa ruined kwa kupungukiwa na mchezaji mmoja. Lakini mpaka dakika hii Wydad kafanya sub nne huku Mamelody wakiwa vile vile kama walivyoingia. Kalpana
Wale waliokuwa wanamshangaa Robertinho kwa tabia yake ya kuchelewa kufanya sub. Angaliemi hii dakika ya 75 hakuna sub iliyofanyika. Na hapo ilitegemewa pengine ndio angekuwa wakwanza kufanya sub kwasababu game plan yake ishakuwa ruined kwa kupungukiwa na mchezaji mmoja. Lakini mpaka dakika hii Wydad kafanya sub nne huku Mamelody wakiwa vile vile kama walivyoingia. Kalpana
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 May 13, 2023 #137 Naona Mamelod wanawachezaji wengi kutoka Amerika ya Kusini.
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 May 13, 2023 #138 Sawubona Nkasi Yami Kunjaani Masandawana,,,nkhg'saa!
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 May 13, 2023 Thread starter #139 Dakika ya 77' Mamelody wanafanya mabadiliko ya kwanza. Anaingia Allende anatoka Zwane Kumbuka wote hao ni midfielders yani bado kocha hajafikiria kufanya sub ya beki kwasababu wako pungufu. Amezidi kuimarisha eneo la katikati aendelee kumiliki zaidi mpira. Wakati huo Wydad wamefanya sub nne mpaka muda huu
Dakika ya 77' Mamelody wanafanya mabadiliko ya kwanza. Anaingia Allende anatoka Zwane Kumbuka wote hao ni midfielders yani bado kocha hajafikiria kufanya sub ya beki kwasababu wako pungufu. Amezidi kuimarisha eneo la katikati aendelee kumiliki zaidi mpira. Wakati huo Wydad wamefanya sub nne mpaka muda huu
a45 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 1,389 Reaction score 1,485 May 13, 2023 #140 Scars said: 64' Wydad wanafanya shambulizi hapa lakini mlimda mlango anaokoa hatari Click to expand... Refa anawabeba Sana Hawa waydad Hawa huyu capten wao
Scars said: 64' Wydad wanafanya shambulizi hapa lakini mlimda mlango anaokoa hatari Click to expand... Refa anawabeba Sana Hawa waydad Hawa huyu capten wao