FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

1. Simba Ameisha toka huko kwa WATOTO

2. Simba anawaza Mashindano makubwa kama super Cup

3. Simba amelamba BILIONI 5 super cup. (Super league)

4. Uwanja WA Mkapa unakarabatiwa kwaajili ya super League.

5. Africa inajiandaa kupokea ugeni MZITO kutoka Duniani.
RAIS WA Fifa na Mashirikisho yake.

KILA LAKHERI MNYAMA MKALI.
Mnajifariji ivyo ivyo wakati wenzenu wanazidi kupanda chati mkija kushtuka washawashusha. Kuishia kucheza robo fainali sio mafanikio ya kuwafanya mbweteke kiasi hicho
 
kumekucha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo huyo amepigwa laki 6
Screenshot_20230930-094714.jpg
 
Kazi ya ticket [emoji612] imemalizika sasa.

Mashabiki wameitika.

1034271271.jpg
 
Wewe jamaa Swindon unalia kwenye magroup umebetia hela ya ada
Duh nakupa pole sana .
Angalia ID yangu alafu kahakiki hiko usemacho nimetoka shule zamani sana .

Niko na cheque namba nakula hela yenu ya kodi kitambo .

Sema nini mshahara wenyewe ushaisha nimenywea pombe rafiki , vipi unataka kunisapoti nini ?

Njoo nikuuzie mkweche wangu kuna IST naifukuzia hapo mjini kati .

Anyway hivi Yanga ni timu yako aisee sijui kama mnatoboa .

Hivi wewe ni Frank ?

Nisamehe bure jua kali sana hapa Mbeya hivyo akili iko less
 
Back
Top Bottom